♠ Posted by Unknown at 08:00
KAMERA
ya GPL imeshuhudia uzio wa mabati uliozungushiwa katika kiwanja
kimoja kilichopo Posta barabara ya Samora ukianguka baada ya upepo mkali
kuvuma. Uzio huo haukuleta madhara yoyote kwa wapita njia na wale
waliokuwa jirani na eneo hilo
.
0 comments:
Chapisha Maoni