AJALI YAUA 21 MAGU

♠ Posted by Unknown at 07:58
 
TAKRIBANI watu 21 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya magari mawili ya abiria kugongana uso kwa uso leo majira ya saa 5 asubuhi mkoani Mwanza.

Ajali hiyo imelihusisha basi la J4 lililokuwa likitoka Mwanza kwenda Sirari lililogongana na gari aina ya Coaster eneo la Magu mkoani Mwanza.

0 comments:

Chapisha Maoni