LORI LA MAFUTA LAPATA AJALI MBAYA TANGA ♠ Posted by Unknown in duniani at 23:48 Lori la mafuta likiteketea kwa moto mara baada ya kugonga nguzo ya umeme maeneo ya Amasia huko Handeni mkoani Tanga leo. Wananchi wakishuhudia moto mkubwa uliozuka katika ajali hiyo.
0 comments:
Chapisha Maoni