LORI LA MAFUTA LAPATA AJALI MBAYA TANGA

♠ Posted by Unknown in at 23:48
Lori la mafuta likiteketea kwa moto mara baada ya kugonga nguzo ya umeme maeneo ya Amasia huko Handeni mkoani Tanga leo.
Wananchi wakishuhudia moto mkubwa uliozuka katika ajali hiyo.

0 comments:

Chapisha Maoni