♠ Posted by Unknown at 11:38
Komandoo
Sidhee Bahadurkatuwal (kulia) kutoka Nepal akionesha nyumba ya Mrwanda
aliyokuwa akiilinda kupitia kampuni ya Ulinzi ya Advanced Security
karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam,
akiwa na makomandoo wenzake kutoka Nepal.
Maofisa
wa Uhamiaji wakimhoji mama wa kitanzania aliyeolewa na mnyarwanda ambao
nyumba yao ilikuwa ikilindwa na Komandoo kutoka Nepal.
Baadhi ya makomandoo wa kijeshi kutoka Nepal wakiwa wamevalia sare ya Kampuni ya Ulinzi ya Advanced katika nyumba hiyo.

0 comments:
Chapisha Maoni