♠ Posted by Unknown at 07:43
Everton kumsajili Etoo
Post by Mr.Prime 26 Agosti, 2014
Mshambulizi huyo ambaye aliwahi kuwa mchezaji nyota barani Afrika kwa miaka minne aliifungia Anzhi Makhachkala mabao 12 katika mechi 35 alizoshiriki.

Etoo aliwahi kuhudumu chini ya Mourinho akiwa Inter Milan
Alipokuwa Nou Camp, alitwaa ubingwa wa ligi ya Ulaya mara mbili katika mwaka wa 2006 na 2009 .
Eto'o alijiunga na Inter Milan 2009 kutokea Barcelona alipoisaidia kutwaa kombe la mabingwa chini ya Mourinho huko San Siro.


0 comments:
Chapisha Maoni